Title : Copa del Ray: Barcelona, Real Madrid na Atletico Madrid zatenganishwa Copa del Rey
link : Copa del Ray: Barcelona, Real Madrid na Atletico Madrid zatenganishwa Copa del Rey
Copa del Ray: Barcelona, Real Madrid na Atletico Madrid zatenganishwa Copa del Rey
MABINGWA watetezi Barcelona wamezikwepa Real Madrid na Atletico Madrid baada ya timu hizo bora zaidi katika soka la Uhispania zikitenganishwa kwenye robo-fainali ya Copa del Rey.
Barca itacheza na Real Sociedad, wakati Real Madrid itawaalika Celta Vigo na Atletico Madrid watakutana na Eibar.
Alcoron, timu pekee isiyoshiriki ligi kubaki, imepangwa kucheza na Alaves.
Mechi za kwanza zitapigwa Jumatano na Alhamisi, wakati marudiano yakifanywa wiki moja baadaye.
Barca, ambayo ilipambana kutoka nyuma kwenye mchezo wa kwanza na kuichapa AAthletic Bilbao kwenye hatua ya 16, wana lengo la kuwa timu ya kwanza tangu 1953 kushinda Copa del Rey mara tatu mfululizo.
Droo kamili:
Real Sociedad v Barcelona
Alcorcon v Alaves
Atletico Madrid v Eibar
Real Madrid v Celta
Thus articles Copa del Ray: Barcelona, Real Madrid na Atletico Madrid zatenganishwa Copa del Rey
that is all articles Copa del Ray: Barcelona, Real Madrid na Atletico Madrid zatenganishwa Copa del Rey This time, hopefully can provide benefits to you all. Okay, see you in another article post.
You are now reading the article Copa del Ray: Barcelona, Real Madrid na Atletico Madrid zatenganishwa Copa del Rey the link address https://allnewsinformationtime.blogspot.com/2017/01/copa-del-ray-barcelona-real-madrid-na.html
0 Response to "Copa del Ray: Barcelona, Real Madrid na Atletico Madrid zatenganishwa Copa del Rey"
Post a Comment