Serie A: Torino 2-2 AC Milan: Milan yatoka nyuma na kugawana pointi

Serie A: Torino 2-2 AC Milan: Milan yatoka nyuma na kugawana pointi - Hallo friend ALL NEW, In the article you read this time with the title Serie A: Torino 2-2 AC Milan: Milan yatoka nyuma na kugawana pointi, we have prepared well for this article you read and download the information therein. hopefully fill posts Article Culinary, Article Culture, Article Economy, Article Politics, Article Sports, Article The latest, Article Updated, we write can understand. Well, happy reading.

Title : Serie A: Torino 2-2 AC Milan: Milan yatoka nyuma na kugawana pointi
link : Serie A: Torino 2-2 AC Milan: Milan yatoka nyuma na kugawana pointi

Read also


Serie A: Torino 2-2 AC Milan: Milan yatoka nyuma na kugawana pointi

AC Milan ilipambana kutoka nyuma kwa mabao 2-0 na kuvuna pointi moja baada ya kuilazimisha Torino sare ya mabao 2-2 kisha kupanda hadi nafasi ya tano kwenye msimamo wa Serie A.
Bao la 14 la Andrea Belotti msimu huu na bao la Marco Benassi yaliipa Torino uongozi.
Mlinda mlango kinda wa Milan Gianluigi Donnarumma, 17, alifanya kazi ya ziada kuokoa mkwaju wa penalti ya Adem Ljajic kuwazuia wenyeji kuongoza kwa mabao 3-0.
Andrea Bertolacci akapunguza idadi ya mabao kwa wageni - ambao walimaliza mchezo wakiwa 10 - kabla ya mkwaju wa penalti ya Carlos Bacca kufanya matokeo kuwa mabao 2-2.
Milan, ambayo ilimpoteza Alessio Romagnoli dakika 89 kwa kadi mbili za manjano, inakaa juu ya mahasimu wao Inter kwa pointi moja na pointi nane nyuma ya vinara Juventus.
Torino, ambayo ilitupwa nje ya Coppa Italia na wapinzani hao wiki iliyopita, wako nyuma ya vinara kwa pointi 15.


Thus articles Serie A: Torino 2-2 AC Milan: Milan yatoka nyuma na kugawana pointi

that is all articles Serie A: Torino 2-2 AC Milan: Milan yatoka nyuma na kugawana pointi This time, hopefully can provide benefits to you all. Okay, see you in another article post.

You are now reading the article Serie A: Torino 2-2 AC Milan: Milan yatoka nyuma na kugawana pointi the link address https://allnewsinformationtime.blogspot.com/2017/01/serie-torino-2-2-ac-milan-milan-yatoka.html

Subscribe to receive free email updates:

Related Posts :

0 Response to "Serie A: Torino 2-2 AC Milan: Milan yatoka nyuma na kugawana pointi"

Post a Comment