UEFA: Borussia Dprtimund 8-4 Legia Warsaw: Historia yawekwa UCL

UEFA: Borussia Dprtimund 8-4 Legia Warsaw: Historia yawekwa UCL - Hallo friend ALL NEW, In the article you read this time with the title UEFA: Borussia Dprtimund 8-4 Legia Warsaw: Historia yawekwa UCL, we have prepared well for this article you read and download the information therein. hopefully fill posts Article Culinary, Article Culture, Article Economy, Article Politics, Article Sports, Article The latest, Article Updated, we write can understand. Well, happy reading.

Title : UEFA: Borussia Dprtimund 8-4 Legia Warsaw: Historia yawekwa UCL
link : UEFA: Borussia Dprtimund 8-4 Legia Warsaw: Historia yawekwa UCL

Read also


UEFA: Borussia Dprtimund 8-4 Legia Warsaw: Historia yawekwa UCL

Borussia Dortmund na Legia Warsaw zimeweka historia kwenye Champions League Jumanne - kwa mabao 12 kufungwa kwenye mchezo mmoja.
Vijana wa Thomas Tuchel waliwachapa wapinzani wao kutoka Poland mabao 8-4 kwenye mchezo wa kukumbukwa nchini Ujerumani.
Idadi hiyo inaipiku mabao 11 yaliyofungwa wakati Monaco ikiichapa Deportivo La Coruna mwaka 8-3 mwaka 2003.
Kulikuwa na mabao saba ndani ya dakika 22 za kipindi cha kwanza - na Legia ilimaliza kipindi cha kwanza ikifunga mabao manne kwenye Champions League lakini ilimaliza kwa kichapo.

Usiku wa kuvunja rekodi

  • Ni mara ya kwanza kwenye historia ya Champions League wachezaji wanane kufunga kwenye mchezo mmoja.
  • Dortmund inakuwa timu ya nne baada ya Liverpool, Monaco na Real Madrid kufunga mabao manane kwenye mchezo mmoja wa Champions League.
  • Ulikuwa mchezo wa kwanza kwenye mashindano yoyote ya Europe kuwa na mabao 12 tangu Ajax ilipoichapa timu kutoka Luxembourg ya Red Boys Differdange mabao 14-0 kwenye mashindano yaliyojulikana zamani kama Uefa Cup 3 Oktoba 1984.
  • Ni mchezo mmoja pekee kwenye historia ya European Cup na Champions League ilikuwa na mabao mengi - hiyo ilikuwa wakati klabu ya Uholanzi ya Feyenoord kuichapa KR ya Iceland mabao 12-2 Septemba 1969.
  • Dortmund sasa imefunga mabao 14 dhidi ya Legia msimu huu wa Champions League - mengi zaidi dhidi ya mpinzani mmoja kwenye msimu wa Champions League.
  • Shinji Kagawa - alipokuwa Manchester United - alifunga mabao mawili ndani ya sekunde 76, mabao ya haraka zaidi kwenye historia ya Champions League.


Thus articles UEFA: Borussia Dprtimund 8-4 Legia Warsaw: Historia yawekwa UCL

that is all articles UEFA: Borussia Dprtimund 8-4 Legia Warsaw: Historia yawekwa UCL This time, hopefully can provide benefits to you all. Okay, see you in another article post.

You are now reading the article UEFA: Borussia Dprtimund 8-4 Legia Warsaw: Historia yawekwa UCL the link address https://allnewsinformationtime.blogspot.com/2016/11/uefa-borussia-dprtimund-8-4-legia.html

Subscribe to receive free email updates:

Related Posts :

0 Response to "UEFA: Borussia Dprtimund 8-4 Legia Warsaw: Historia yawekwa UCL"

Post a Comment