Title : FA Cup: Droo ya raundi ya tatu: Wapinzani wa Manchester United, Liverpool, Chelsea, na Arsenal wajulikana
link : FA Cup: Droo ya raundi ya tatu: Wapinzani wa Manchester United, Liverpool, Chelsea, na Arsenal wajulikana
FA Cup: Droo ya raundi ya tatu: Wapinzani wa Manchester United, Liverpool, Chelsea, na Arsenal wajulikana
DROO ya FA Cup raundi ya tatu imetangazwa, na bingwa mtetezi Manchester United atacheza na Reading katika mchezo unaotajwa kuwa mkubwa kuwahi kupangwa kwenye droo hiyo.
Mabingwa wa sasa United itamkaribisha mchezaji wake wa zamani ambaye sasa ndiye boss wa Royals Jaap Stam katika dimba la Old Trafford kwenye mchezo huo, wakati timu iliyochapwa kwenye fainali Crystal Palace itacheza na Bolton Wanderers.
Mchezo mwingine unaokisiwa utakuwa mkali unaweza kuwa mchezo wa kwanza wa Pep Guardiola kwenye mashindano hayo Cup, ambapo Manchester City itasafiri mjini London kupambana na West Ham.
Timu za Premier League na Championship zinajumuishwa kwenye mashindano hatua hii, hivyo timu kadhaa zitakuwa na timu ambazo hazina majina makubwa.
Arsenal itakuwa ugenini dhidi ya Preston North End, na Chelsea itacheza dhidi ya ama Notts County au Peterbrough ambapo meneja Antonio Conte akiwa na lengo la kushinda mchezo wake wa kwanza kwenye mashindano ya kale zaidi duniani.
Liverpool watakipiga dhidi ya ama Newport County au Plymouth Argyle katika dimba la Anfield.
Mechi 32 itapigwa mwishoni mwa wiki ya Januari 6-9, 2017 – na hii ndiyo droo kamili…
Droo ya FA Cup raundi ya tatu
Ipswich Town v Lincoln/OldhamBarrow v Rochdale
Manchester United v ReadingHull City v Swansea City
Sunderland v BurnleyQPR v Blackburn Rovers
Millwall v AFC BournemouthWest Ham v Manchester City
Brighton & Hove Albion v MK Dons/Charlton AthleticBlackpool v Barnsley
Wigan Athletic v Nottingham ForestBirmingham City v Newcastle United
Chelsea v Notts County/Peterbrough UnitedMiddlesbrough v Sheffield Wednesday
West Brom v Derby CountyEverton v Leicester City
Liverpool v Newport County/Plymouth ArgyleWycombe Wanderers v Northampton Town/Stourbridge
Watford v Burton AlbionPreston North End v Arsenal
Cardiff City v FulhamStoke City v Wolves
Cambridge United v Leeds UnitedBristol City v Shrewsbury/Fleetwood
Huddersfield v Port ValeTottenham v Aston Villa
Brentford v Halifax/EastleighBolton Wanderers v Crystal Palace
Norwich City v SouthamptonSutton United v AFC Wimbledon
Accrington Stanley v Luton TownRotherham United v Oxford United/Macclesfield
Manchester United v ReadingHull City v Swansea City
Sunderland v BurnleyQPR v Blackburn Rovers
Millwall v AFC BournemouthWest Ham v Manchester City
Brighton & Hove Albion v MK Dons/Charlton AthleticBlackpool v Barnsley
Wigan Athletic v Nottingham ForestBirmingham City v Newcastle United
Chelsea v Notts County/Peterbrough UnitedMiddlesbrough v Sheffield Wednesday
West Brom v Derby CountyEverton v Leicester City
Liverpool v Newport County/Plymouth ArgyleWycombe Wanderers v Northampton Town/Stourbridge
Watford v Burton AlbionPreston North End v Arsenal
Cardiff City v FulhamStoke City v Wolves
Cambridge United v Leeds UnitedBristol City v Shrewsbury/Fleetwood
Huddersfield v Port ValeTottenham v Aston Villa
Brentford v Halifax/EastleighBolton Wanderers v Crystal Palace
Norwich City v SouthamptonSutton United v AFC Wimbledon
Accrington Stanley v Luton TownRotherham United v Oxford United/Macclesfield
Thus articles FA Cup: Droo ya raundi ya tatu: Wapinzani wa Manchester United, Liverpool, Chelsea, na Arsenal wajulikana
that is all articles FA Cup: Droo ya raundi ya tatu: Wapinzani wa Manchester United, Liverpool, Chelsea, na Arsenal wajulikana This time, hopefully can provide benefits to you all. Okay, see you in another article post.
You are now reading the article FA Cup: Droo ya raundi ya tatu: Wapinzani wa Manchester United, Liverpool, Chelsea, na Arsenal wajulikana the link address https://allnewsinformationtime.blogspot.com/2016/12/fa-cup-droo-ya-raundi-ya-tatu-wapinzani.html
0 Response to "FA Cup: Droo ya raundi ya tatu: Wapinzani wa Manchester United, Liverpool, Chelsea, na Arsenal wajulikana"
Post a Comment