Title : Afcon 2017: Burkina Faso 2-0 Guinea-Bissau: Burkina Faso yatangulia robo-fainali
link : Afcon 2017: Burkina Faso 2-0 Guinea-Bissau: Burkina Faso yatangulia robo-fainali
Afcon 2017: Burkina Faso 2-0 Guinea-Bissau: Burkina Faso yatangulia robo-fainali
Burkina Faso imefuzu hatua ya robo-fainali ya Africa Cup of Nations wakiwa vinara wa kundi baada ya kuichapa Guinea-Bissau mabao 2-0.
Kujichanganya kwa safu ya ulinzi kuliwapa faida Burkina Faso, baada ya mlinzi Rudinilson Silva kujifunga kwa kichwa mpira ambao ulimzidi mlinda mlango Jonas Mendes.
Fowadi anayekipiga kwa mkopo katika klabu ya Ajax Bertrand Traore akafunga bao la pili baada ya mapumziko.
Cameroon pia ilisonga mbele kama washindi wa pili wa kundi hilo baada ya sare ya 0-0 na wenyeji Gabon ambapo waandaaji hao waliaga mashindano.
Guinea-Bissau, wakicheza kwa mara ya kwanza Africa Cup of Nations, wangaliweza kupata bao la kuongoza, kabla ya Burkina Faso kufanya hivyo.
Thus articles Afcon 2017: Burkina Faso 2-0 Guinea-Bissau: Burkina Faso yatangulia robo-fainali
that is all articles Afcon 2017: Burkina Faso 2-0 Guinea-Bissau: Burkina Faso yatangulia robo-fainali This time, hopefully can provide benefits to you all. Okay, see you in another article post.
You are now reading the article Afcon 2017: Burkina Faso 2-0 Guinea-Bissau: Burkina Faso yatangulia robo-fainali the link address https://allnewsinformationtime.blogspot.com/2017/01/afcon-2017-burkina-faso-2-0-guinea.html
0 Response to "Afcon 2017: Burkina Faso 2-0 Guinea-Bissau: Burkina Faso yatangulia robo-fainali"
Post a Comment