Title : EPL News: Nyota wa Manchester United Zlatan Ibrahimovic atwaa tuzo ya Mchezaji Bora wa Premier League mwezi Disemba
link : EPL News: Nyota wa Manchester United Zlatan Ibrahimovic atwaa tuzo ya Mchezaji Bora wa Premier League mwezi Disemba
EPL News: Nyota wa Manchester United Zlatan Ibrahimovic atwaa tuzo ya Mchezaji Bora wa Premier League mwezi Disemba
MSHAMBULIAJI wa Manchester United Zlatan Ibrahimovic ametajwa kuwa Mchezaji Bora wa Premier League mwezi Disemba.
Zlatan aliwazidi Alexis Sanchez, Diego Costa na Dele Alli kushinda tuzo hiyo kwa mara ya kwanza.
Mshambuliaji huyo wa zamani wa Ajax, 35, alifunga mabao matano katika mechi sita katika mwezi ambao vijana wa Jose Mourinho hawakupoteza mchezo.
Hiyo ni baada ya kusota Oktoba na Novemeba ambapo alifunga bao moja katika michezo 11 lakini alirejea kwenye kiwango chake huku Manchester United ikiiwinda nafasi katika top four.
Thus articles EPL News: Nyota wa Manchester United Zlatan Ibrahimovic atwaa tuzo ya Mchezaji Bora wa Premier League mwezi Disemba
that is all articles EPL News: Nyota wa Manchester United Zlatan Ibrahimovic atwaa tuzo ya Mchezaji Bora wa Premier League mwezi Disemba This time, hopefully can provide benefits to you all. Okay, see you in another article post.
You are now reading the article EPL News: Nyota wa Manchester United Zlatan Ibrahimovic atwaa tuzo ya Mchezaji Bora wa Premier League mwezi Disemba the link address https://allnewsinformationtime.blogspot.com/2017/01/epl-news-nyota-wa-manchester-united_13.html
0 Response to "EPL News: Nyota wa Manchester United Zlatan Ibrahimovic atwaa tuzo ya Mchezaji Bora wa Premier League mwezi Disemba"
Post a Comment